Saša Krneta na Katibu mtendaji wa FKF Barry Otieno wakati wa uzinduzi wa ufadhili wa miaka mitatu katika hoteli ya City jijini Nairobi. PICHA/CITIZEN DIGITAL Nairobi, Kenya Shirikisho la soka nchini Kenya FKF leo Jumanne limesaini mkataba wa miaka mitatu wa shilingi za Kenya milioni 60 na kampuni ya ubashiri…
Picha/hisani Nairobi, Kenya Bingwa wa mbio za olimpiki Peres Jepchirchir na mwenzake wa mbio za dunia Brigid Kosgei wamethibitishwa kushiriki mbio za London Marathon zitakazofanyika April 23 mwaka huu 2023. Wawili hao wanatarajia kurejea ushindi baada ya kutatizwa na majeraha ya mara kwa mara mwaka jana 2022 yaliyomlazimu Jepchirchir kujiondoa…
Beki wa Kariobangi Sharks FC Boniface Onyango akabiliwa na Kevin Kimani (Mwenye jezi nyeusi) wa Wazito FC wakati wa mechi ya Ligi kuu ya Kenya Ugani Moi International Sports Centre, Kasarani November 29, 2020. (Picha/Hisani) Nairobi, Kenya Beki kisiki wa klabu ya soka ya Kariobangi Sharks Boniface Onyango amethibitishwa kukaa…
Cherono Kipkorir (9) akiwa na kombe la ushindi jumla baada ya kushinda kwenye mashindano ya NCBA Royal Nairobi Golf Club leg ya mwaka 2021. (Picha/Hisani) Nairobi, Kenya Klabu ya Gofu ya Ruiru ndiyo mwenyeji mpya wa makala ya 22 ya gofu yanayodhaminiwa na NCBA mwaka huu 2021, Jumamosi hii. Jumla…