Sanamu ya shujaa wa vita vya wakati wa ukoloni kutoka jamii ya wamijikenda Mekatilili Wa Menza. Picha/Hisani Kilifi,Kenya Ushawahi kujiuliza kilichofanyika hadi Kenya kupata uhuru? Na je, miongoni mwa orodha yako ya wapiganiaji wa uhuru dhidi ya mkoloni, jina la Mekatilili wa Menza lipo? Hii leo, mwandishi wetu Florence Kasichana…
